Duration 12:34

UTAJIRI WA Diamond Platnumz na Team Yake Aongozana na Msafara wa MAGARI ya KIFAHARI

229 223 watched
0
1.6 K
Published 14 Jul 2020

Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu. FOLLOW US Follow on Instagram: https://www.instagram.com/mwendokasitv/ Follow on Facebook: https://web.facebook.com/mwendokasimedia/

Category

Show more

Comments - 187
  • @
    @kilmifenciozitha42034 years ago My feverant artist i' m mozambique salamaleko. 11
  • @
    @carentemu91413 years ago Mungu am barikizaidi afkembariy kimuzik.
  • @
    @dannymusictz94424 years ago Daah toka kwa bobjunior mpaka utajili huu sio kitoto. 16
  • @
    @kabwelerywamwatumu50784 years ago Mtangazaji umeongea kweli diamond ndo mpango mzima. 9
  • @
    @jnaymichael57584 years ago Daaah uyu blood anajiwe kinoma an gari n za ghalama kinoma an.
  • @
    @gazamerlvaxmukwano58444 years ago Kakangu ya mbosso imeweza tena si wakusimulia. 1
  • @
    @danielmunyao81874 years ago Kwa burudani anayonipa diamond ni sawa yake kumiliki vyote avitakavyo. Kifupi napenda kazi zake sana. From kenya. 3
  • @
    @shemsahemed35774 years ago Mungu atawapa utajiri wenye kheri na wao. 1
  • @
    @frediricknandonde16904 years ago Mimi kila siku nasema wenye hela hawa wana mungu wao tofauti na sisi akina ujugu.
  • @
    @lucasezekiel97824 years ago Ananifurahishaga lukamba yeye anacheza na cameraa 2. 1
  • @
    @tresorkinyeshe69654 years ago Kweli huyu msanii wetu diamond nikudume kweli watanzania wote mujipe furahahuyu kwenu tanzania piya vilevile na.
  • @
    @barakashilumba11034 years ago Izo nguo za. Zuchu mh! Mungu atusamehe. Ata kama pesa.
  • @
    @nenadurra84774 years ago Mtangazaji kiswahili vepee, ni gari au gali? 7
  • @
    @suleimanamani64134 years ago Bro ni range rover si discovery
    gari aliopanda mosy yobo ni ile ya mama dangote alafu pardo moja ya mbosso nyingine ya mondi ile alio mpaga tanasha.
    6
  • @
    @Lovearator4 years ago Magari hayo yote ni ya thamani sana na lakini lile jeusi ni la bei ya juu sana. Kama sjakosea kwa mbali ni la pesa taslimu milioni 35 za kenya. 2
  • @
    @sakiman88254 years ago No need for many cars build schools with the money ur legacy will last for hundreds of years many kids will have brighter future those cars will eventually rust. 2
  • @
    @jessicabrown58854 years ago Kwanza umeanza kukosea kwenye gari ya mboso
    wakati ni ya bi sandra
    mboso ni prado tx limited.
  • @
    @mussataliye78154 years ago Wewe muadish huna ham wakuwa nao huo utajir. 9
  • @
    @charlesmuhagama23584 years ago Iyogar nyeusi inadhaman yamirion mianaishirni. 2
  • @
    @rowlandmushi2694 years ago We jamaa acha uongo mendes haendeshi discovery bana ni range rover sport.
  • @
    @nuuhmkaly74584 years ago Nahitaji au ninashida na no ya diamond platnumz.
  • @
    @nansikilovele14244 years ago Hahaa, ww mtangazajiwanaofanya mzikya kufanya km biashara! Hahaa tugari twingine twa watu wa upande wa pil mh! 1
  • @
    @johnsonkillenga83894 years ago Siwezi kuishi maisha ya kifahari angali kuna watu wana njaa atakama nimebarikiwa zaidi ya hapo lazma niishi maisha ya kawaida ili nile na wenzangu.
  • @
    @kelvinnidbaza47174 years ago Huyu jamaa mweu, izo gari anakata bima ya third party.
  • @
    @abubakarikisuju53744 years ago Hayo magari ni ya diamond ila kawapa wafanyakazilakini wakijiondoa wcb wanayarudisha. 7
  • @
    @leticiatibanyenda2824 years ago We ntangazaji hacha ujinga tafuta vya kwako.
  • @
    @cartv50854 years ago Mzee ni range rover hyo na si land rover bro " discovery ni land rover "
  • @
    @rowlandmushi2694 years ago Alafu iyobo anaendesha gari ya mamaake mondy. 1
  • @
    @yasinalli34064 years ago Sio yote magari yake iyo range rover nyeupe ya sallam sk iyo land cruiser nyeupe ni ya mbosso iyo v8 nyeupe ni ya simba. 5
  • @
    @leticiatibanyenda2824 years ago Km freemason kweli mungu anaona na hakiamua kuanza kutandika watu viboko ntalia wengi.
  • @
    @michaelkessy57404 years ago Thamani ya gari hayo, hadi uwone kwa ndani? Usibabaike na bodi.
  • @
    @mrmago48704 years ago Tukitaka kujua kama huu utajiri ni wa haki au laah. Kwanza tujiulize huyu diamond show moja ya nje analipwa sh ngapi? Na anafanya show ngapi za nje id="hidden5" kwa mwaka? Matangazo yanamlipa sh ngapi (pespi, parimatch n. K. Nadhani hapo ndo tutaelewa vizuri kuhusu pato lake je linamruhusu kumiliki magari kama hayo. ...Expand 1
  • @
    @chrismassawe3264 years ago Uongo tu hana utajiri huo hanaa na ukitaka kuamini subiri akifa kama kanumba ndo utajua kumbe msanii ni msanii tuu.
  • @
    @Mamatonny20654 years ago Ushamba tu! Leteni mambo ya maana! Udaku haufai! Fanyeni kazi kwa bidii milango yote iko wazi! Msipoteze muda wenu hapo. 1
  • @
    @othmanomar75704 years ago Mwandishi utafirwa kw ushamba w magar ayo huku zanzbar tumechora taxi cc tunapakilia watu. 2
  • @
    @alibinali_4 years ago Wacha kuongea ujinga kaka sio poa be open be real hayo magari ni ya watu tofauti diamond salam lavalava mbosso sio diamond peke yake aliekuja hapo.