Duration 10:37

SAMIA, Amuunga Mkono Tundu lissu Demokrasia, Haki na Usawa Ni Muhimu sana, Ameahidi Utawala wake

28 915 watched
0
115
Published 14 May 2021

Category

Show more

Comments - 62
  • @
    @bertinkimati26743 years ago Mama nashukuru sana kwa moyo wako wa dhati ktk kuiendesha serikali. Mama nachoweza kukushauri ni kutokuruhusu watu wachache wenye mawazo ya uchochezi kukuharibia . ...Expand
  • @
    @omarynyagali37743 years ago Hongera sana mama yetu mpendwa mungu akulinde sana. 3
  • @
    @dennisungonella2053 years ago Mungu akutangulie mama yetu kwa kila jambo. 2
  • @
    @eatlawe3 years ago Haki, uhuru, demokrasia na demokrasia vilivyokuwa vimepotea na kufa vinaanza kufufuka! 2
  • @
    @jituakilimali153 years ago Uraisi sio sehemu ya kurusha roho tumejifunza hatutorudia kosa hilo. 4
  • @
    @chikiranathanael30973 years ago Mama hekima ulio nayo naomba mungu akuongezee ili uzidi zaidi kua jasiri na kufanya kazi bila kiburi uko vizur sana. 1
  • @
    @saumsaum19163 years ago Ukisema dunia nzima wanakula idi wengine jumatano wengine alhamisi wengine leo ijumaa hakuna tarehe maalumu ya kufungulia.
  • @
    @josephmakutano70673 years ago Nianjema ninzuri lakini tuweke misingi yamaana ili akijamubaya imuzibiti bilajuhudi zakatibamupya tutaangaika miaka yote! 1
  • @
    @saumsaum19163 years ago Mbn wengine leo ndo wanakula idi km india leo ndo wana idi ya kwanza?
  • @
    @yohanisshaibu38113 years ago Mi siwezi sema uongo pole mama mimi sikukubali ata kidogo niliyemkubali ashafariki yeye ndiye aliyekuwa na mapya we huna lolote yote yalishakuwepo ikiwa pamoja na maneno matam ambayo hayana matendo. R. I. P jemedari.
  • @
    @eatlawe3 years ago Asasi za kirai zijaendaeni kupumua sasa mana ni enzi ya mama kuwapa fursa kufanya kazi kwa uadilifu! 1
  • @
    @joojombi23413 years ago Heading yako mbovu kabisa wee jipange tena kijana wacha kupotosha watu bhana.
  • @
    @fortinatuswangubo9813 years ago Mkuu wa mkoa wa mara hakusitahili kupewa nafasi nyingine maana alishindwa kushugurikia malalamiko ya wafanyakazi wa kampuni ya kiribo ltd.
  • @
    @nzagambaog48433 years ago Kaimbe mipasho wewe mama hakuna unachofanya ikulu. 1
  • @
    @joojombi23413 years ago Kenge mkubwa wee na heading yako mbovu maandazi mmja.
  • @
    @sasha-ri7tf3 years ago Asalam alaikum eid mubarak. Mhe rais wetu samia suluhu hassan watimuwe nchini hao wa israel. 2
  • @
    @fortinatuswangubo9813 years ago Mh rais wa jamuhuri ya tanzania sisi wafanyakazi wa kampuni ya kiribo ltd tunaomba utusaidie tangu tarehe 04/06/2020 tuliachishwa kazi hadi sasa hatujalipwa . ...Expand
  • @
    @yonaelikoinange19563 years ago Wanao tumia lugha za matusi mheshimiwa rais toa tamko washughulikiwe ila wengine wajifunze kunyamaza. 1
  • @
    @vitukoshow15613 years ago Ni kweli ila inaonekana demokrasia hutoa mianya mingi ya watu kufuja hela za serikali ndio maana ilipokosekana madini yetu yalizuiwa, gasi yetu tuliitumia . ...Expand 2
  • @
    @machaggechacha34223 years ago Wakati wote tz ina democrasy haki za binadamu na usaha wa wananchi ukilinganisha na hizi nchi za mabeberu na matapeli wazungu.
  • @
    @bertinkimati26743 years ago Mama nashukuru sana kwa moyo wako wa dhati ktk kuiendesha serikali. Mama nachoweza kukushauri ni kutokuruhusu watu wachache wenye mawazo ya uchochezi kukuharibia . ...Expand
  • @
    @fortinatuswangubo9813 years ago Mh rais wa jamuhuri ya tanzania sisi wafanyakazi wa kampuni ya kiribo ltd tunaomba utusaidie tangu tarehe 04/06/2020 tuliachishwa kazi hadi sasa hatujalipwa . ...Expand
  • @
    @vitukoshow15613 years ago Ni kweli ila inaonekana demokrasia hutoa mianya mingi ya watu kufuja hela za serikali ndio maana ilipokosekana madini yetu yalizuiwa, gasi yetu tuliitumia . ...Expand 2