@zubedamagambo96003 years agoHapo ni kuachana tu. Aendelee na huyo aliekuwa nae siku hiyo. 7
@
@Sppah6973 years agoAlienda kuaga kwa mwanamke wake wa zamani! 6
@
@AliMohamed-kd1uc3 years agoDada huna kitu hapa bado hakuna cha ndoa hapo. 2
@
@janefrolakalinga56643 years agoPatrick noma alienda kuaga kwa mchepuko matokeo yake akaloekew nguo ili asitoke hahahaa dada huna mume apo pole sn. 4
@
@nurafedrick3783 years agoHuyo alikuwa namwanamke inje alienda kumuagaa akafungiwaa ndani naifunguo zikafichwaa. Hapo ndoa hakuna tena. 3
@
@fatmaabdalla85433 years agoBibi harusi kuwa makini huyo bwana wako hana uaminifu. 5
@
@livaliiog13043 years agoLike hapa kama umeipenda team bongo fastar. 14
@
@rahmamngoya90443 years agoMimi pado sija muelewa huyu mwanaume sijui nyie kama mmemsoma. 3
@
@moureendaqueenqueen93523 years agoHarusi za siku hizi ni simu, heri customary marriage than certificate marriage. 3
@
@salumsalum57123 years agoMimi n albert einstein sasa twende kazi. 3
@
@jescajulius80233 years agoTena unabahati watu kama nyie mnafaa kukomeshwa kwa makusudi ili liwe fundisho kwa wote wanaoenda kuzin kabla ya ndoa. 1
@
@annamwangaza6053 years agoAlirogwa kweli wanaume sio ila kwa kuact wanaweza lazima angefika arusini ushenzi mwingine ukaendekea.
@
@jamilaezekiel61743 years agoDaa huyo alikuwa na mwanamke mwingine na ndio maana alikuwa na mawazo alienda kuagana nae akafungiwa mirango.
@
@sharinv88643 years agoKile naeza sema huyo mwanaume huwenda alikuwa freemason so hawakutaka afunge ndoa jamani ina vituko. 1
@
@tamaraseff.97073 years agoHuez jua kihini cha dume uyu. Tumuachie yy tu. 2
@
@joebanda54753 years agoWanaweke niwachonganish mm slaumu patrick. 5
@
@luciahmwai5673 years agoNi wapi wamesema alikua kwa bibi mwingine, patrick alikua amechoka tuinaezatokea. 1
@
@magrethmbuma30453 years agoLabda alirogwa huyu mbwa kwann asiende sikuzote kupumzika aende siku ya harusi mijanaume sijui ikoje yaani? 3
@
@monicaalute31433 years agoYaan mwanaume km huyu, dawa yke nikumzalia watoto 10 na wote hawatakuwa wake. Nitahakikisha kipindi cha mimba zote nitamsumbua, watoto wote atawalea na kuwasomesha vzr period.
@
@shamzone3883 years agoHuyo bwana harusi alikwenda kwa kimada chake lakini alitiliwa dawa za kulaza ndio alilala mpaka siku ya pili. ukiwa ni mwanamme una kimada nje. ...Expand3
@
@shamzone3883 years agoHuyo bwana harusi alikwenda kwa kimada chake lakini alitiliwa dawa za kulaza ndio alilala mpaka siku ya pili. ukiwa ni mwanamme una kimada nje. ...Expand3
Related videos for MWANAUME alitoweka SIKU YA HARUSI yake,siku ya pili AKARUDI lakini JIBU LAKE lilishangaza DUNIA:
ukiwa ni mwanamme una kimada nje . ...Expand 3
ukiwa ni mwanamme una kimada nje . ...Expand 3