@venitarugemalila92903 years agoUsione vyaelea kweli vimeundwa, poti na nyie mmeundwa ni, kumbe mmezivaa ila wengine wazee wa hizi kazi hahaaa salute kwenu. 4
@
@alimakame92153 years agoHngera dada ulovaanguo ya jechi upon vzur. 4
@
@halimagoodgoodsimbahalimag29403 years agoUyu dada aliyevaa z mabak saluti kwako. 1
@
@ashurajengela39262 years agoSijui ata kwanini nmejikuta nafurahi kutoka moyoni aloohh mmeua sana.
@
@mtorosenga12723 years agoHongereni saana, kafika ma dancer nimemuelewa sana huyo jamaa wa katikati na huyo dada mwenye bakabaka, pia katika waimbaji nimemuelewa rapa. 1
@
@nyamwekomatoke99513 years agoBig up sanaa naona kuna chibongee anayasakata ile mbayaa hahaha mko vzr, saut nzr. 1
@
@danfordchingole68493 years agoI' m so missing this ngoma coy 822 kj. 2
@
@imelidastevesteve51273 years agoSaf sana vijana mkikosa ajila mtakuwa wanamizikiii. 1
@
@joycekalembo22253 years agoSafi sna? Makamanda angekuwepo raisi nae angesogea hapo kupiga ngoma kama kawaida yake. 3
@
@venitarugemalila92903 years agoWaoowaowaoo safiii saaana sebene la mana natamani ningekuwa hapo kati wacha e wewee.
@
@kasmirypaschal22283 years agoNmeckiaa iyooo waiyonaaa iyooo big up makamandaa wetu.
@
@venitarugemalila92903 years agoUnaniua mwenye baka wewee, wote good job sebene mwaaa. 1
@
@samwelmwiru28273 years agoVijana wetu wako vzuri wakiongozwa na matron wao, kongole sana. 3
@
@mwananchipress35693 years agoLegacy ya baba wa taifa ilipaswa watanzania wote milioni 50 tupite hapo kusingekuwa na mateja wala wezi kwa kweli. 2
@
@dintazdintaz73113 years agoHako ka mabaka inabd kapande kawe kanakaa na mzanzibar aisee ili kamfunze mauno aisee nmekaelewa sanaa. 2
@
@niyongabotherence89403 years agoUkubali ukatae mimi naona mukongo hapo kama nawewe umeona gonga like. 1
@
@venitarugemalila92903 years agoWaimbaji nao ila mmebana embu tupe vitu.
@
@taturajabu59773 years agoHuyo, wazili wa ulinzi! Hapana chezea.
@
@georgekimasaofficial16293 years agoBig up sana makamanda wetu mmetisha pongezi kwenu. 2
@
@dausonjohn66583 years agoWee pic kali nishda kama hujaolewa nipo kwajili yako.
@
@venitarugemalila92903 years agoWenye magitaavyombo wapi nyie twende kazi. 1
@
@felixmagulu61423 years agoHongereni sana, baba wa taifa aliacha alama kubwa sana, alihakikisha majeshi yote na mashirika ya umma yanakuwa na bendi za muziki wa dansi, lakini bendi nyingi zimeshakufa zimebaki chache sana. 1
@
@anytimeanyplace96073 years agoMkisha kafiraneni. Msio jielewa unuusu. 1
@
@eliabuedward87553 years agoTanzania securities you don' t have a gospelkwa wenzetumungu pia na kutangaza ukuu wake. Mungu kwanza, na ingefaa kama jeshi na vyombo vyetu vya ulinzi, 5
Related videos for BENDI YA JKT ikitumbuiza Mbele ya Mhe. Waziri wa Ulinzi na JKT Makao Makuu ya JKT:
naona kuna chibongee anayasakata ile mbayaa
hahaha
mko vzr, saut nzr. 1